Juma Mwambusi arejea kukinoa Kikosi cha Yanga
Uongozi wa klabu ya Yanga umefanya mazungumzo na aliyekuwa Kocha msaidizi wa kikosi hicho Juma Mwambusi ili kuja kukinoa kikosi cha Klabu hiyo. Hatua hiyo inakuja baada ya klabu hiyo kutangza kuvunja mkataba na aliyekuwa kocha Mkuu, Cedric Kaze mnamo March 07, 2021.Juma Mwambusi aliomba kuvunja mkataba wake na yanga hivi karibuni kwa madai ya
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed